Wednesday, June 13, 2012


from .....................
to kibonaticha@yahoo.co.uk
SWALI KWAKO KAKA:
Jina linahifadhiwa kwa ombi la mhusika. Kwanza natoa shukrani kwa kuanzisha huduma hii. Mimi ni kijana wa kiume na kaumri naona kameenda ila pia kama unavyonifahamu japo kwa umbali nina ka umaarufu kiasi chake mbona vya kuoa vinanichanganya na ninatamani ila nahisi nitachelewa sana.
MAJIBU juni 15 TEMBELEA kwaticha.blogspot.com UTAYAKUTA RAFIKI.

No comments:

Post a Comment