from .....................
to kibonaticha@yahoo.co.uk
SWALI KWAKO KAKA:
Jina linahifadhiwa kwa ombi la mhusika. Kwanza natoa shukrani kwa kuanzisha huduma hii. Mimi ni kijana wa kiume na kaumri
naona kameenda ila pia kama unavyonifahamu japo kwa umbali nina ka umaarufu
kiasi chake mbona vya kuoa vinanichanganya na ninatamani ila nahisi nitachelewa
sana.
MAJIBU juni
15 TEMBELEA kwaticha.blogspot.com UTAYAKUTA RAFIKI.
No comments:
Post a Comment