Tuesday, June 5, 2012

MITIHANI HIYO IMEFIKA
              Jamani mitihani imefika na kila kozi inaonekana kuwa na mchakato mkali hasa mwelekeo wa kusap (supplementary) ambao unaonekana wazi na unamkaribisha kila mmoja. La muhimu ni kwamba tumtegemee yeye anayewezesha tutapita tu. Hata hivyo hatusahau kuwaombea waliopata ajali huko Mbeya. Waliokufa Muumba anajua lakini walio mahututi bila shaka Bwana atafanya kitu kwa ajili yao. Nawatakia Maisha mema hapa UoA. Mwandishi wenu wa kujitegemea.
Na KIBONA. Juni 2012

No comments:

Post a Comment